biashara ya Crypto inalipa, lakini usipokuwa mjanja, matapeli watakuliza asubuhi na mapema!
âLeo nataka nikupe siri ambazo wengi hawakuambii unapotumia P2P (M-Pesa, Tigo Pesa, n.k.) hapa Binance:
âUsiachie Pesa (Release) Kabla ya Kuona SMS: Tapeli anaweza kukutumia "Screenshot" ya uongo. Hakikisha umeingia kwenye App ya simu yako au umeona SMS ya mtandao husika kabla ya kubonyeza 'Payment Received'.
âChagua 'Verified Merchants': Unaponunua, angalia wale wenye alama ya "Tick" ya njano. Hawa wako "Verified" na Binance na ni salama zaidi kwa asilimia 99.
âEpuka Maongezi ya Nje ya Binance: Kama mtu akikuambia "Tuchat WhatsApp" ili akutumie pesa, kimbia! Binance haitakulinda kama ukifanya biashara nje ya mfumo wao.
âMchongo wa Ziada: Je, unajua ni sarafu gani (Altcoins) zina nafasi ya kupanda wiki hii? Nimefanya research ya kutosha.
âKama unataka nikutajie hizo sarafu 3, gonga LIKE na uandike "NIAMBIE" hapa chini kwenye comments!
â#BinanceSquare #P2PSafety #CryptoTanzania #Write2Earn #SmartInvesting